.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Januari 2015

TORRES AREJEA ATLETICO MADRID KWA USHINDI DHIDI YA REAL MADRID

Mshambuliaji Fernando Torres amerejea Atletico Madrid na kuanza kwa ushindi dhidi ya Real Madrid wa mabao 2-0 katika mzunguko wa kwanza wa 16 bora katika Kombe la Copa del Rey.

Umati wa mashabiki 46,800 walikuwapo kumshuhudia mchezaji huyo wa zamani wa Liverpool na Chelsea akirejea katika klabu hiyo ya Atletico Madrid ambayo ndiyo aliyoanzia kung'ara.

Magoli ya Atletico Madrid yalifungwa na Raul Garcia kwa mkwaju wa penati baada ya kuchezewa rafu, ambapo Jose Maria Gimenez alitumbukiza la pili kwa mpira wa kichwa.
                                                           Torres na Raul Garcia wakishangilia goli
                  Gareth Bale na Cristiano Ronaldo wakishika viuno hoi kwa kipigo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni