Awali wasafiri baina ya nchi hizo
mbili ulikuwa hauna vikwazo vyovyote, lakini sasa wananchi wa Syria
itawabidi kupata kwanza viza kabla ya kuingia Lebanon.
Hii ni hatua mpya ya kukabiliana na
wingi wa wakimbizi wanaotoka Syria, ambapo hadi sasa Lebanon
imewapokea wakimbizi zaidi ya milioni moja.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni