.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Januari 2015

MAHAKAMA KENYA YAMNYIMA DHAMANA MFANYABIASHARA WA MENO YA TEMBO ALIYEKAMATWA TANZANIA

Mahakama ya Mombasa leo imekataa kumuachia kwa dhamana mfanyabiashara mkubwa wa biashara haramu ya meno ya tembo Feisal Mohammed Ali maarufu kwa jina la Feisal Shahbal.

Mfanyabiashara huyo alikamatwa mwezi uliopita na Interpol nchini Tanzania kwa tuhuma za kufanyabiashara kusafirisha meneo ya tembo kilo 2,152 yenye thamani ya shilingi milioni 44 za Kenya.

Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo Justus Kituku amekataa ombi la dhamana kwa madai kuwa kunauwezekano mtuhumiwa Feisal Mohammed Ali asirudi kusikiliza kesi yake baada ya kupewa dhamana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni