.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 11 Januari 2015

MCHEZAJI WA WOLFSBURG, JUNIOR MALANDA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI UJERUMANI

Mchezaji wa Wolfsburg, Junior Malanda (20) amefariki dunia kwa ajali ya gari nchini Ujerumani.

Kiungo huyo wa timu ya taifa ya Ubelgiji ya umri chini ya miaka 21, amecheza michezo 15 katika ligi kuu ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga katika msimu huu, pamoja na mmoja wa Ligi ya Uropa dhidi Everton.

Mkurugenzi wa Wolfsburg Klaus Allofs amesema katika taarifa yake kwa umma, kuwa wameshtushwa mno na kifo cha mchezaji huyo, na wanashindwa hata kuamini kama ni kweli Malanda ameaga dunia.
                       Malanda kulia wakati wa uhai  wakifanya vitu vyake uwanjani

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni