.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 11 Januari 2015

VIONGOZI WAKUU WA NCHI WAKUSANYIKA JIJINI PARIS, UFARANSA KUPINGA UGAIDI

Viongozi wa dunia wamekusanyika Jijini Paris katika kuelekea kuanza maandamano makubwa katika Jiji hilo kuu la Ufaransa kwa ajili ya kuonyesha mshikamano, ikiwa ni siku tatu tu kupita tangu kutokea matukio ya ugaidi yaliyouwa watu 17.

Baadhi ya viongozi wakuu 40 watahudhuria maandamano hayo, ambayo yanatarajiwa kuyazidi kwa idadi ya watu maandamano ya jana yaliyohudhuriwa na watu laki 7.

Maafisa polisi wapatao 2,000 na wanajeshi 1,350 wamesambazwa katika Jiji la Ufaransa kulianda usalama wa waandamanaji.
                  Mashada ya maua yakiwekwa kuomboleza vifo vya watu 17 jijini Paris 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni