.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 11 Januari 2015

WATU ZAIDI YA 50 WAFA BAADA YA BASI KUGONGANA NA LORI LA MAFUTA NA KULIPUKA MOTO

Zaidi ya watu 50 wamekufa na wengine zaidi kujeruhiwa baada ya basi kugongana na lori la mafuta katika mji wa Karachi nchini Pakistani.

Lori hilo la mafuta linadaiwa kuwa lilikuwa katika mwendo kasi na likiendeshwa upande ambao si wake wakati lilipogongana na bus hilo uso kwa uso na kisha magari hayo yote mawili kulipuka moto.

Baadhi ya abiria wa basi ambao walikuwa juu ya basi hilo, waliweza kuruka na kunusuru maisha yao, lakini wengi wa abiria waliokuwa ndani ya basi walishindwa kujinusuru na kuungua moto. Dereva wa lori hilo inadaiwa alikimbia baada ya kusababisha ajali hiyo. 
         Miili ya watu iliyoungua ikiwa kwenye mifuko kwenye chumba cha kuhifadhia maiti

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni