.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 2 Januari 2015

ZOEZI LA KUITAFUTA NDEGE YA AIRASIA CHINI YA BAHARI LATARAJIA KUANZA

Zoezi la kuitafuta chini ya bahari ndege ya AirAsia namba QZ8510 ambayo ilianguka baharini siku ya jumapili, linatarajia kuanza baada ya kuwasili kwa vifaa maalum vya uzamiaji.

Timu ya waupelelezi ya Ufaransa itatumia vifaa maalum vyenyeuwezo mkubwa wa kubaini kitu majini katika kujaribu kutafuta kifaa cha ndege cha kurekodi takwimu cha black box.

Ndege hiyo aina ya Airbus A320-200 iliyokuwa ikisafiri kutoka Surabaya, Indonesia kwenda Singapore ilitoweka ikiwa na watu 162. Hakuna mtu aliyebainika kuwa hai hadi sasa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni