.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 19 Februari 2015

LIBYA YAOMBA UMOJA WA MATAIFA KUONDOA VIKWAZO VYA SILAHA

Nchi ya Libya imeliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, kuondoa vikwazo vya silaha ili iweze kukabiliana na wapiganaji wa kundi la Dola ya Kislaam (IS).

Waziri wa Mambo ya Nje wa Libya Mohammed al-Dairi amesema kuondolewa vikwazo kutasaidia serikali kukabiliana na ongezeko la vitendo vya ugaidi.

Misri imesema inaunga mkono ombi la Libya, katika mkutano huo wa dharura wa baraza la Umoja wa Mataifa, uliofanyika jana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni