.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 17 Februari 2015

MWANAMKE ANUSURIKA KUFA MAJI BAADA YA GARI LAKE KUTUMBUKIA MAJINI

Mwanamke mmoja mwenye bahati amenusurika kufa maji baada ya kuokolewa na polisi kufuatia gari lake aina ya BMW kuzama haraka baada ya kutumbukia majini kwenye bandari ya Waitemata huko Auckland nchini New Zealand.

Mwanamke huyo aliyekuwa amejawa na hofu alikuwa amekimbilia kwenye kioo cha nyuma baada ya sehemu ya gari lake la mbele kuzama haraka baada ya gari lake kuzama haraka baada ya kutumbukia.

Polisi walijaribu kuvunja kioo cha nyuma cha gari kwa kutumia virungu vyao lakini walishindwa na ndipo polisi mmoja alipookota jiwe na kutumia kuvunja kioo hicho na kufanikiwa kukivunja na kumtoa kabla ya mwanamke huyo hajaishiwa na pumzi.
                            Polisi akitumia jiwe kuvunja kioo cha gari lililokuwa likizama
                             Hatimae mwanamke huyo akiokolewa kutoka kwenye gari lake

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni