.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 19 Februari 2015

SPIKA WA BUNGE LA AFRIKA KUSINI AMUOMBA RADHI JULIUS MALEMA

Spika wa Bunge la Afrika Kusini ameomba radhi kwa kumuita mende mbunge wa kambi ya upinzani.

Spika Baleka Mbete ameomba radhi katika mkutano wa chama cha ANC, baada ya kumuamuru Kiongozi wa chama cha EFF Malema na wabunge wa chama chake kutoka nje bungeni.

Bw. Malema alitolewa bungeni wakati akipinga hotuba ya rais Jacob Zuma kwa taifa aliyokuwa akiitoa bungeni.

Bw. Malema amedai kuwa kauli ya Spika Mbete ni tishio, kwani inajulikana watu wanajua walichofanywa watu walioitwa mende nchini Rwanda.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni