.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 27 Februari 2015

WAZAZI WA WANAFUNZI 43 WALIOTEKWA NA KUTOWEKA WAANDAMANA MEXICO

Wazazi wa wanafunzi 43 raia wa Mexico ambao hawajulikani walipo kwa kipindi cha miezi mitano iliyopita wameongoza maandamano makubwa katika jiji la Mexico City wakiitaka mamlaka kufanya uchunguzi kamili.

Maelfu ya watu katika mji huo walishiriki maandamano wakiwa wamebeba mabango yenye picha za wanafunzui hao wa chuo cha ualimu.

Waendesha mashitaka wanasema wanafunzi hao walikamatwa na polisi wala rushwa baad ya wanafunzi hao kuandamana katika mji wa Iguala mnamo Septemba 26 na inasemekana walikabidhiwa kwa genge la wahalifu ambalo liliwauwa wanafunzi hao.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni