.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 31 Machi 2015

MCHINA ALIYEKUWA ANASIMAMIA HOTELI YENYE UBAGUZI WA RANGI APEWA DHAMANA

Raia wa China ambaye ni meneja wa hoteli iliyogubikwa na kashfa ya ubaguzi wa rangi nchini Kenya ameachiwa kwa dhamana.

Meneja huyo Zhao Yang ameachiwa baada ya upande wa mashtaka kuondoa pingamizi la dhamana waliloweka.

Mahakama imemuachia Zhao Yang kwa dhamana ua shilingi laki moja za Kenya, wakati akingojea kusikilizwa kesi yake.

Meneja huyo pia anashtakiwa kwa kuishi Kenya kinyume na sheria, ambapo alikaa rumande kwa siku tatu katika gereza la wanawake la Langata.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni