.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 29 Machi 2015

NDEGE YA AIR CANADA YAPITILIZA NJIA YA KUTULIA KATIKA UWANJA WA HALIFAX

Ndege ya shirika la ndege la Canada imepitiliza njia ya kutulia wakati ikitua kwenye uwanja wa ndege wa Halifax.

Abiria wote 132 waliokuwa kwenye ndege hiyo aina ya A320 Airbus waliondolewa kwenye ndege miongoni mwao 22 wamepelekwa hospitali kwa matibabu baada ya kupata majeraha madogo.

Ndege hiyo namba AC624 ikitokea Toronto iliwasili katika uwanja huo usiku wa manane na imeripotiwa kuwa iligonga nguzo ya umeme baada ya kutua.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni