Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiagana wafiwa waMarehemu Bi Benadeta Francis Chacha alipofika kutoa mkono wa pole nyumbani kwa Kianga Wilaya ya Magharibi Unguja leo.[Picha na Ikulu.]
Ijumaa, 6 Machi 2015
RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN ATOA MKONO WA POLE KUFUATIA KIFO CHA BI BENADETA FRANCIS KIANGA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimfaraji Mtoto wa mareheme Ray alipofika kutoa mkono wa pole nyumbani kwa Marehemu Bi Benadeta Francis Chacha Kianga Wilaya ya Magharibi Unguja leo.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni