.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 2 Aprili 2015

15 WAFARIKI KATIKA SHAMBULIO LA CHUO KIKUU CHA GARISSA NCHINI KENYA

Idadi ya vifo vya watu waliokufa katika tukio la watu wenye silaha kushambulia Chuo Kikuu cha Garissa kaskazini mwa Kenya leo afajiri imefikia watu 15.

Shirika la Msalaba Mwekundu Kenya limesema watu wapatao 65, wakiwemo polisi wawili wamejeruhiwa na kukimbizwa hospitali.

Taarifa ambazo hazijathibitishwa rasmi zinasema kuwa kuna idadi ya wanafunzi kadhaa wanashikiliwa mateka na washambuliaji hao.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni