Ripoti ya
Umoja wa Mataifa imesema zaidi ya wapiganaji wakigeni 25,000
wamesafiri kujiunga na makundi ya kigaidi kama al-Qaeda pamoja na
Dola ya Kiislam (IS).
Wataalam
wanasema wingi wa wapiganaji wa kigeni kujiunga na makundi hayo ni wa
juu katika historia.
Wapiganaji
kutoka karibu nchi 100 wamesafiri kwenda maeneo ya Irak, Syria, Libya
pamoja na Pakistani.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni