.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 9 Aprili 2015

CHUO KIKUU CHA CAPE TOWN KUONDOA SANAMU LA MKOLONI CECIL RHODES

Chuo Kikuu cha Cape Town (UCT) kimepiga kura ya kuondoa sanamu la mkoloni Muingereza Cecil Rhodes ambalo lilikuwa kama alama kuu ya chuo hicho kwa miaka kadhaa.

Wanafunzi wa chuo hicho wamepiga kampeni ya kuondolewa kwa sanamu hilo lililojengwa karne ya 19, ambapo sasa litatolewa leo na kuhifadhiwa mahala salama.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni