.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 9 Aprili 2015

MWANAUME MMOJA KATI YA 10 HUDUNDWA NA MWANAMKE NCHINI KENYA

Takwimu za Utafiti wa Afya zinaonyesha mwanaume mmoja kati ya kumi nchini Kenya amepatwa na tukio la kupigwa ama kudhalilishwa kijinsia na mkewe ama mpenzi wake wa kike.

Katika takwimu hizo wanaume wenye umri wa miaka 20 na 24 Kenya wanakabiliwa na asilimia 11.7 ya kufanyiwa ukatili na wanawake, wakifuatiwa kwa karibu na wanaume wenye umri wa miaka 40 na 49 kwa asilimia 9.8.

Kwa wanaume wenye umri wa miaka 30 na 39 kumeripotiwa kuwa na matukio machache ya kupigwa na wanawake kwa asilimia 7.1, kwa mujibu wa utafiti huo wa mwaka 2014.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni