.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 9 Aprili 2015

MTUHUMIWA WA TUKIO LA BOMO LA BOSTON ATIWA HATIANI KWA MAKOSA 30

Mwanaume anayetuhumiwa kuhusika na tukio la mabomo katika mbio za marathoni za Boston mwaka 2013, amekutwa na hatia ya mashtaka yote 30 yanayomkabili ambayo yanaweza kumfanya akabiliwe na adhabu ya kifo.

Jopo la wazee wa mahakama ya Massachusetts, wataamua iwapo mtuhumiwa huyo Dzhokhar Tsarnaev, atapatiwa adhabu ya aina gani.

Watu watatu walikufa na wengine zaidi ya 260 wamejeruhiwa wakati mabomu yalipolipuka katika eneo la kumalizia mbio za marathoni Aprili 2013.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni