.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 9 Aprili 2015

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MAREKANI JOHN KERRY AIONYA IRAN KUHUSU YEMEN

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry ameionya Iran kuhusiana na tuhuma za kuhusika kuwaunga mkono waasi wa Shia Houthi nchini Yemen.

Amesema Marekani itaungana na nchi yeyote ya Mashariki ya Kati ambayo itahisi kutishiwa na Iran, na kuongeza kuwa Marekani haitokaa kimya ikiona Iran inaleta machafuko katika ukanda huo.

Marekani imeongeza hatua ya kuunga mkono muungano unaoongozwa na Saudi Arabia kukabiliana na waasi wa Houthi, ambao wamemtimua rais wa Yemen nje ya nchi hiyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni