.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 6 Aprili 2015

HOFU YA MATUKIO YA UGAIDI KENYA MWANAMKE MMOJA AKAMATWA KANISANI

Mwanamke mmoja jana amekamatwa na polisi katika kanisa la Anglikana la Kenya, la Mombasa baada ya kubainika na waumini akiongea na simu pamoja na kutuma ujumbe mfupi wa maandishi wakati misa ikiendelea.

Kukamatwa kwa mwanamke huyo kunatokana na hofu ya matukio ya ugaidi Kenya ambapo pia misa ilibidi isimame na waumini kutolewa nje ya kanisa baada gari iliyokuwa ikitiliwashaka kukutwa imeegeshwa katika mlango wa kanisa.
                                      Gari lililotiliwa shaka likivutwa na gari la Breakdown

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni