.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 29 Aprili 2015

MAFURIKO YALETA MAAFA NAROK NCHINI KENYA

Mamia ya watu wanahofiwa kufariki dunia huku nyumba nyingi zikibomoka kufuatia mafuriko makubwa yaliyoikumba mji wa Narok nchini Kenya kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. 

Magari 10 yalisombwa na maji huku mashuhuda wakisema kuwa waliona miili ya watu 3 ikielea katika mto Ngare, huku mawasiliano ya barabara yakikatika.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni