.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 7 Aprili 2015

MIILI YA MWANAMKE NA MWANAUME YAKUTWA KWENYE MASANDUKU NCHINI INDIA

Mili isiyona nguo ya mwanaume na mwanamke imekutwa ikiwa ndani ya masanduku ya bati katika jimbo la Haryana nchini India, huku polisi wakihisi ni mauaji yaliyofanywa kulinda heshima ya familia.

Wakazi wa eneo lililotokea tukio hilo waliibaini miili ya watu hao, ambao inaaminika umri wao ni kati ya miaka 20, ikiwa kwenye eneo la bustani ya kupumzikia watu huko Sonipat.

Mamia ya watu huuwawa nchini India kwa kujihusisha na mapenzi ama kuolewa na mtu ambaye hakubaliki na familia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni