.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 7 Aprili 2015

MKUU WA JESHI LA POLISI MALAWI AAGIZA KUPIGWA RISASI WATAKAOKUTWA WAKISHAMPULIA ALBINO

Mkuu wa jeshi la polisi nchini Malawi amewaagiza polisi kuwapiga risasi wahalifu wanaoshambulia watu wenye albinism ili kuuza viungo vyao kwa matumizi ya vitendo vya ushirikina.

Mkuu huyo Lexen Kachama amewaambia maafisa polisi kwamba wawapige risasi wahalifu watakao wakuta wakati wakifanya kitendo cha utekaji watu wenye albinism.

Kwa mujibu wa Chama cha Watu Wenye albinism nchini Malawi, albino sita wameuwawa tangu mwezi Desemba mwaka jana hadi Aprili mwaka huu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni