.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 5 Aprili 2015

NABII MMOJA GHANA ASHIKILIWA NA POLISI KWA MADAI YA KUMUUA MKEWE


Mchungaji wa kanisa raia wa Ghana anashikiliwa kwa tuhuma za kuhusika kumuua mkewe mjamzito raia wa Uingereza kwenye chumba cha hoteli nchini Ghana.

Mwili wa mkewe Charmain Adusah, 41, uligundulika na wafanyakazi wa hoteli ukiwa uso upo ndani ya beseni la kuogelea, na inaaminika alikuwa hivyo kwa siku nne kabla ya kubainika.

Mume wa marehemu Eric Isaiah Adusah, ambaye anajiita kuwa ni nabii na muhubiri inadaiwa aliondoka hotelini akiwa na haraka katika siku ambayo inaaminika kuwa ndiyo mkewe huyo alikufa.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni