Nchi ya Chile imeshudia Volcano Calbuco ikilipuka kusini mwa nchi hiyo ikiwa ni miaka 40 kupita tangu nchi hiyo ishuhudie tukio kama hilo.
Zaidi ya watu 1,500 waliokuwa wakiishi katika mji wa Ensenada ulipotokea mlipuko huo wamelazimika kuyahama makazi yao kwa muda na kwenda mji wa karibu ili kusalimisha maisha yao.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni