.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 5 Aprili 2015

SERENA WILLIAMS AMDHIBITI SUAREZ NAVARRO NA KUTWAA TAJIA LA MIAMI OPEN

Mchezaji namba moja duniani katika mchezo wa tenesi kwa wanawake Serena Williams amempeleka puta Carla Suarez Navarro na kushinda taji lake la nane la michuano ya wazi ya Miami.

Serena ambaye ametimiza muri wa miaka 33, alicheza vyema na kushinda kwa seti 6-2 6-0 katika muda wa dakika 56 na kutwa taji la tatu mfululizo katika uwanja wa Crandon Park.

Mmarekani huyo aliyeshinda michezo yake 10 yote aliyotinga fainali alimdhibiti vilivyo Suarez Navarro. 
                                                      Serena akirudisha mpira uliopigwa na Carla
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni