.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 10 Aprili 2015

SERIKALI YA SOMALIA IMETOA AHADI YA KUTOA ZAWADI NONO YA FEDHA

Serikali ya Somalia imetoa ahadi ya kutoa zawadi ya fedha kwa mtu atakayefanikisha kukamatwa kwa kati ya viongozi 11 waandamizi wa kundi la al-Shabaab.

Katika zawadi nono hiyo ya fedha jumla ya kiasi cha dola 250,000 zimetengwa kwa ajili mtu atakayetoa taarifa zitakazofanikisha kukamatwa mkuu wa al-Shabaab Ahmed Diriye.

Orodha ya viongozi wengine pamoja na majina yao ya kupachikwa imetolewa baada ya kikao cha baraza la mawaziri ikiwa ni wiki moja baada ya shambulio la al-Shabaab katika chuo cha Kenya.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni