.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 10 Aprili 2015

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MAREKANI JOHN KERRY AKUTANA NA WA CUBA

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry pamoja na mwenzake wa Cuba, Bruno Rodriguez wamefanya mazungumzo ya kwanza ya ngazi ya juu baina ya nchi hizo mbili baada ya zaidi ya nusu karne kupita.

Mawaziri hao wawili wamefanya mazungumzo ya ndani baada ya kuwasili Jijini Panama.

Wakati huo huo idara ya serikali ya Marekani, imeripotiwa kupendekeza nchi ya Cuba kuondolewa katika orodha ya nchi zinazosemekana kusaidia ugaidi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni