.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 24 Mei 2015

MBUNGE WA SOMALIA AMEPIGWA RISASI NA KUFA MJINI MOGADISHU

Mbunge wa Somalia amepigwa risasi na kufa Mjini Mogadishu katika shambulio linadaiwa kufanywa na wapiganaji wa al-Shabaab.

Maafisa usalama wamesema kuwa mbunge huyo Yusuf Dirir aliuwawa baada ya watu wenye silaha kulifyatulia risasi gari lake.

Aidha, wafanyakazi watatu wa wizara ya usafirishaji ya Somalia nao wameuwawa jana baada ya gari lao kushambuliwa kwa risasi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni