.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 12 Mei 2015

UKUTA WA MSIKITI WAANGUKA NA KUUA WATU SABA JIJINI NAIROBI



Watu wapatao saba wamekufa baada ya ukuta unaozunguka msikiti kuanguka jana usiku katika eneo la Kusini B Jijini Nairobi nchini Kenya.



Ukuta huo umeanguka kwenye jengo lililojengwa karibu na ukuta katika kitongoji cha makazi duni cha Mukuru, kufuatia mvua kubwa zinazonyesha.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni