Watu wapatao saba wamekufa baada ya
ukuta unaozunguka msikiti kuanguka jana usiku katika eneo la Kusini B
Jijini Nairobi nchini Kenya.
Ukuta huo umeanguka kwenye jengo
lililojengwa karibu na ukuta katika kitongoji cha makazi duni cha
Mukuru, kufuatia mvua kubwa zinazonyesha.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni