.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 23 Mei 2015

WAKIMBIZI WA BURUNDI 3,000 WAUGUA KIPINDUPINDU MKOANI KIGOMA

Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi wa Burundi 3,000 wanaugua kipindupindu nchini Tanzania, katika Mkoa wa Kigoma ambao wakimbizi hao wamekimbilia kuepuka machafuko nchini kwao.

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi limesema kila siku wagonjwa 400 wapya hujitokeza.

Zaidi ya wakimbizi 100, 000 wamekimbia Burundi katika wiki za hivi karibuni wakikimbia vurugu zilizochochewa na hatua ya rais Pierre Nkurunziza kutangaza kuwania urais kwa muhula wa tatu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni