Aliyekuwa mkuu wa usalama nchini
China, Zhou Yongkang, amehukumiwa kwenda jela kifungo cha maisha.
Shirika la habari la China la Xinhua
limesema Zhou ametiwa hatiani kwa makosa ya rushwa, matumizi mabaya
ya madaraka, na kutoa siri za maslahi ya taifa kwa makusudi.
Kabla ya kustaafu mwaka 2012 Zhou
alikuwa ni miongoni mwa watu wenye nguvu kubwa kimadaraka nchini
China.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni