.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 11 Juni 2015

WAFUNGWA WALIOVUNJA GEREZA YAAMINIKA WAMEELEKEA VERMONT

Wafungwa wawili waliovunja gereza Jijini New York na kutoroka, inaaminika kuwa wamekimbilia Vermont, wapelelezi wa Marekani wamefika.

Wafungwa hao David Sweat na Richard Matt walitumia vifaa vyenye nguvu kukata vyuma vya gereza na kisha kukata bomba kuu na kutumia kutorokea.

Gavana wa jimbo hilo Peter Shumlin amesema polisi wanaamini kuwa wafungwa hao wanaweza kuwapo Vermont kutakuwa ni salama kwao huku kukiwa na maafisa wachache wanaowatafuta.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni