.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 10 Juni 2015

MARTA AWEKA REKODI WAKATI BRAZIL IKISHINDA MABAO 2-0

Mchezaji wa Brazil Marta amekuwa mchezaji aliyeongoza kufunga magoli mengi katika michuano ya Kombe la Dunia kwa Wanawake baada ya kupachika bao lake la 15 katika ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Korea Kusini.

Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 29, ameingia katika rekodi hiyo baada ya kufunga goli lake kwa njia ya penati, katika kipindi cha pili na kumpiku mshambuliaji wa zamani wa Ujerumani Birgit Prinz.

Mchezaji mkongwe wa Brazil Formiga alipachika bao la kwanza na kuweka rekodi ya kuwa mchezaji mwenye umri mkubwa kucheka na nyavu katika michuano hiyo akiwa na umri wa miaka 37. 
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni