.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 15 Juni 2015

RAMADA HOTEL YATALETA MAPINDUZI MAKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HOTEL JIJINI DAR ES SALAAM

Ramada Hotel iliyopo mbezi beach jijini Dar es Salaam imeleta ushindani mkubwa wa hoteli za kitalii katika jiji kutokana na kuwa ubora wa hali ya juu. 

Hotel hii yenye hadhi ya nyota tano, imeanza kutoa huduma hivi karibuni lakini imekuwa kivutio kikubwa kwa wageni mbalimbali wa ndani na nje ya nchi wanaofika hotelini hapo. Picha hii imepigwa kwa nyuma upande wa baharini.
                        Bwawa la kisasa la kuogelea lililopo Ramada Hotel linavyoonekana
Doreen akiwa katika bwawa la kuogelea na Denzel ( picha chini ) wakifurahia utalii wa ndani na mandhari ya kuvutia Ramada Hotel.
                                                                                                        Denzel

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni