.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 8 Julai 2015

BARAZA LA CHINI LA CONGRESS LA CHILE LIMERIDHIA MUSWADA WA KUHALALISHA BANGI

Baraza la chini la Congress la nchini Chile limeridhia muswada ambao utatoafursa kwa raia wa nchi hiyo kuweza kulima kiasi kidogo cha bangi kwa ajili ya dawa pamoja na matumizi ya kiroho.

Muswada huo utatoa ruhusa kwa kila raia wa Chile, kulima nyumbani miche sita ya mmea wa bangi.

Hadi sasa nchini Chile kuuza na kusafirisha bangi ni kosa ambalo mtuhumiwa akitiwa hatiani uhukumiwa kifungo cha zaidi ya miaka 15 jela.

Muswada huo mpya utapaswa kupitia katika tume ya afya, na baraza la Seneti ili kuweza kuridhiwa na kuanza kutumika rasmi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni