.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Julai 2015

MAHAKAMA NCHINI LIBYA YAMUHUKUMU KIFO MTOTO WA GADAFFI NA WENZAKE WANANE

Mahakama nchini Libya imemuhukumu mtoto wa Kanali Muammar Gaddafi, Saif al-Islam pamoja na watu wengine wanane hukumu ya kifo kwa kuhusika na uhalifu wa kivita wakati wa vuguvugu la mapinduzi ya umma mwaka 2011.

Katika kesi hiyo pia wamo makumi ya watuhumiwa ambao walikuwa washirika wa karibu wa serikali ya marehemu Kanali Gaddafi, ambao wanatuhumiwa kwa kutumia nguvu kudhibiti waandamanaji wakati wa vuguvugu la nguvu ya umma.
Wakati hukumu hiyo ikitolewa mtoto huyo wa Kanali Gaddaf, Saif al-Islam hakuwepo mahakamani na alitoa ushahidi wake kupitia video.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni