.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Julai 2015

MFALME SALMAN WA SAUDI ARABIA, AMEWASILI KUSINI MWA UFARANSA KWA MAPUMZIKO

Mfalme Salman wa Saudi Arabia, amewasili kusini mwa Ufaransa kwa mapumziko ya wiki tatu ambayo itapelekea fukwe ya eneo atakalopumzika kufungwa kwa muda.

Wakazi wa eneo la fukwe hiyo wamekasirishwa na kitendo cha fukwe ya umma kufungwa kwa manufaa ya mtu mmoja na familia yake.

Hata hivyo kinyume na wananchi wafanyabiashara wameonekana kuvutiwa na masharti hayo kwa madai kuwa Mfalme Salman huingiza pato kubwa katika eneo hilo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni