.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 1 Julai 2015

MIILI YA WATU 144 YAPATIKANA NCHINI INDONESIA KUFUATIA AJALI YA NDEGE

Maafisa wa Indonesia wamesema miili ya watu 144 imepatikana, baada ya ndege ya usafirishaji mizigo ya jeshi kuanguka katika makazi ya watu katika eneo la Medan, hapo jana.

Jeshi limesema hakuna hata mtu mmoja kati ya 122 waliokuwemo kwenye ndege hiyo aina ya Hercules C-130 aliyenusurika kifo baada ya kuanguka na kugonga nyumba pamoja na hoteli na kisha kulipuka moto.

Wengi wa waliokufa inaaminika kuwa ni ndugu na jamaa wa wanajeshi wa Indonesia. Taarifa za hivi karibuni zimesema watu 19 waliokuwa kwenye nyumba wamekufa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni