.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 6 Julai 2015

RAPA NICKI MINAJI NUSURA AHARIBU ONESHO JANA USIKU KATIKA TAMASHA LA WIRELESS

Rapa Nicki Minaji nusura aharibu onesho jana usiku katika tamasha la Wireless Jijini London kutokana na kuchelewa kufuatia vikwazo vya kiusafiri.

Mashabiki wa nyota huyo walikasirika baada ya kulazimika kumgonjea Nicki Minaj afike ukumbimi kwa saa mbili katika shoo hiyo iliyofanyika jana usiku huko Finsbury Park.

Rapa huyo alipangiwa kukwea jukwaani majira ya saa moja usiku hadi saa mbili usiku, baada David Guetta, lakini hakutokea jukwaani hadi saa tisa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni