Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar wakifuatilia hafla hiyo ya Kutangaza Majimbo ya Uchaguzi Zanzibar ilofanywa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe Jecha Salim Jecha katika ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace Malindi Zanzibar.
Waandishi wakifuatilia Utangazaji wa Majimbo ya Uchaguzi yaliotangazwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, katika ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace Malindi Zanzibar.
Maofisa wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar wakifuatilia Utagazaji wa Majimbo ya Uchaguzi Zanzibar baada ya kufanyiwa marekebisho.kisheria
Waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo wakati Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar akitangaza Majimbo ya Uchaguzi katika ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace Malindi Zanzibar
Maofisa wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar wakifuatilia mkutano huo wa waandishi wa habari wakati wa kutangaza Majimbo ya Uchaguzi. hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa hoteli ya grand palace malindi Zanzibar
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni