.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 18 Agosti 2015

ATHLETIC BILBAO YAIKOMALIA BARCELONA NA KUTWAA SUPER CUP

Timu ya Barcelona jana usiku ilishindwa kulipa kisasi cha kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa Athletic Bilbao wakiwa katika dimba la nyumbani la Nou Camp na kujikuta wakikosa ubingwa wa Kombe la Super baada ya kutoka sare ya bao 1-1.

Nyota wao Lionel Messi alikuwa wa kwanza kuiandikia Barcelona lakini Athletic walipambana kiume ugenini na kufanikiwa kulichomoa goli hilo kupitia kwa Aritz Aduriz , huku Gerard Pique akitolewa nje, na kuifanya Athletic Bilbao kutwaa kombe hilo kwa mara ya kwanza tangu miaka 31 iliyopita.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni