.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 18 Agosti 2015

THAILAND YASEMA SHAMBULIO LILILOFANYWA BANGKOK NI TUKIO BAYA KUWAHI KUTOKEA

Waziri Mkuu wa Thailand, Prayuth Chan-ocha amesema mlipuko wa bomo katika mahala patakatifu katika Jiji la Bangkok, hapo jana ni tukio baya la mashambulizi kuwahi kutokea nchini humo.

Shambulio hilo lililofanywa katika mahala patakatifu pa dhehebu la Erawan Hindu
limeuwa watu 21, wakiwemo raia wa kigeni huku idadi kubwa ya watu wakijeruhiwa.

Bw. Prayuth amesema wahusika wa tukio hilo hawajajulikana hata hivyo polisi wanamchunguza mtuhumiwa mmoja, aliyeonekana kwenye kamera za usalama.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni