Mhe Balozi Liberata Mulamula akisalimiana na Agnes Mutta Mke wa Mwambata wa Jeshi wa Ubalozi wa Tanzania Washington DC.
Mhe Balozi Liberata Mulamula akiwa pamoja na Mwambata wa Jeshi Col. Adolph Mutta pamoja na Mkewe Agnes Mutta.
Mhe Balozi Liberata Mulamula akitoa pasi yake ya kusafiria kwaajili ya kujisajili tayari kwa kuondoka.
Kwa pamoja tunasema Safari Njema na Ubarikiwe Sana Balozi Mulamula daima tutakukumbuka. PICHA ZOTE KWA HISANI YA CAMERA YA UBALOZI.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni