Bondia mwanamke Ronda Rousey
ameendelea kudhihirisha yeye ni mbaya katika ulingo na hana mshindani
wake kwa sasa.
Bondi huyo wa UFC uzito wa
bantamweight ametetea taji lake kwa mara ya sita sasa, baada ya
kupiga kwa KO, Bethe Correia katika raundi ya kwanza huko Rio de
Janeiro.
Correia akirusha konde lililompata Rousey
Konde la kushoto la Rousey lililompata barabara bondia Correia
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni