.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 2 Agosti 2015

MATUMIZI YA DAWA ZINAZOKATAZWA YANATISHA MIONGONI MWA WANAMICHEZO

Shirika la Dunia la Kupambana na Matumizi ya Dawa Michezoni (WADA), limeshtushwa mno, baada ya tuhuma za kuvuja kwa takwimu za matumizi ya dawa zilizopigwa marufuku michezoni.

Gazeti ya Sunday Times na Shirika la Utangazaji la Ujerumani la ARD/WRD wamepata nakala za matokeo ya vipimo vya sampuli za damu 12,000, za wanamichezo 5,000.

Kwa mujibu wa gazeti la Sunday Times ushahidi unaonyesha kunaudanganyifu usiowakawaida unaofanywa na wanariadha wakati wa michuano mikubwa duniani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni