.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 11 Agosti 2015

HALI YA TAHADHARI IMEWEKWA KATIKA MJI WA FERGUSON NCHINI MAREKANI

Hali ya tahadhari imewekwa katika mji wa Ferguson nchini Marekani huku kukiwa na maandamano ya kuadhimisha kifo cha kijana Mmarekani mweusi Michael Brown.

Mji huo umeelezwa kuwepo katika hali ya taharuki baada ya kijana mwingine mweusi kuumizwa vibaya kwa risasi katika mapambano na polisi siku ya jumapili.

Kijana huyo Tyrone Harris mwenye umri wa miaka 18, baadae alifunguliwa mashtaka ya kuwashambulia maafisa polisi. Gavana wa Missouri Jay Nixon ametoa wito wa kutaka maandamano kuwa ya amani.
                Mwanaharakati maarufu Cornel West ni miongoni mwa watu wapatao 20 waliokamatwa 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni