.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 2 Agosti 2015

KIPANDE KINGINE KINACHOZANIWA KUWA NI MABAKI YA MH370 CHAOBEKANA

Kipande cha pili kinachozaniwa kuwa ni mabaki ya ndege ya Malaysia MH370, kimeonekana kwenye fukwe ya bahari ya hindi ya Reunion, baada ya jumatano kupatikana kipande kingine.

Kipande hicho kinadhaniwa kuwa ni mlango wa ndege, kimebainika karibu na kusini mwa mji wa St Denis.

Ndege ya Malaysia ya MH370, ilipotea wakati ikitokea Kuala Lumpur kuelekea Beijing mwezi Machi ikiwa na abiria 239.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni