.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 23 Agosti 2015

KOCHA WA MANCHESTER UNITED LOUIS VAN GAAL ASEMA HANAMPANGO WA KUNUNUA MSHAMBULIAJI

Kocha wa Manchester United Louis van Gaal amesema haitaji kuongeza mshambuliaji ili kuimarisha safu ya ushambuliaji licha ya jana kutoa sare tasa na Newcastle akiwa katika dimba la nyumbani Old Trafford.

Manchester United imefunga magoli mawili tu katika michezo yao ya ufunguzi wa Ligi Kuu ya Uingereza na mshambuliaji wake Wayne Rooney hajaifungia klabu yake tangu Aprili 4.

Awali Manchester United ilikuwa ikimtaka Pedro kabla ya mshambuliaji huyo kuamua kujiunga na Chelsea akitokea Barcelona.
                      Mshambuliaji wa Manchester United Rooney akijaribu kufunga goli 
             Memphis Depay akimfanya kipa wa Newcastle, Krul atambae kwa chenga

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni